WAKIRISTO KOTE NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
Na Barnabas Kisengi-Mpwapwa Dodoma Wakristo wote hapa nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuchangi pato la Taifa na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu GEORGE SIMBACHAWENE amesema hayo wakati akizunguma katika sherehe ya kumweka wafu Askofu wa tatu wa Kanisa la
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed