WAKIRISTO KOTE NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Na Barnabas Kisengi-Mpwapwa Dodoma Wakristo wote hapa nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuchangi pato la Taifa  na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu GEORGE SIMBACHAWENE amesema hayo  wakati akizunguma katika sherehe ya kumweka wafu Askofu wa  tatu wa Kanisa  la